Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Blinken amekutana kwa mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.I Rais wa Kenya aahidi nyongeza ya mishahara kwa wafanya kazi. IKlabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani kucheza na klabu ya Paris Saint Germain, PSG.